ajabu sana fiesta super nyota mdada ambaye anaonekana umri umeenda amekuwa mshindi wa serengeti super nyota iliyokuwa ikifanyika mwanza ambapo dj fetty wa clouds fm alikua miongoni mwa ma jaji, picha hii hapa ya mshindi toka mwanza, Wengi wameonekana kusema kwamba ni mbibi , ndo hivo lakini kipaji hakiangalii umri
Milioni 392 Zajenga Barabara HEWA Dar es Salaam
-
Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Boniface Jacob amebaini matumizi ya Sh392
milioni zilizoandikwa kwenye taarifa ya manispaa hiyo kuwa zimetumika kwa
ajili y...





