Featured Posts

Wednesday, August 27, 2014

ODAMA AKUMBWA NA WASIWASI WA KIFO, SOMA HAPA ZAIDI

Na Imelda Mtema
MTOTO mzuri Bongo Movies, Jennifer Kyaka ‘Odama’ amefunguka kuwa kadri anavyosherehekea siku yake ya kuzaliwa ndivyo hofu ya kifo inavyozidi kumjaa.
Mtoto mzuri Bongo Movies, Jennifer Kyaka ‘Odama’.
Odama alifunguka hayo juzi alipokuwa akisherehekea siku yake ya kuzaliwa katika Ukumbi wa Vijana ambapo alisema kutokana na hofu hiyo ndiyo maana aliamua kujumuika na watoto yatima.
“Mwenzenu sijui nipoje yaani kila inapofika bethidei yangu najikuta nikiingiwa na hofu ya kifo, bora niwe nasherehekea na watoto yatima kama hivi nipate thawabu kwa Mungu,” alisema Odama.

TUMEAMIA HUKU