Featured Posts

Saturday, August 16, 2014

HA HA HA UWOYA AFUNGUKA KWA NINI HAPENDI KUVAA CHUPI

Mrembo na staa wa filamu nchini Irene
Uwoya amesema kuwa hakuna vazi
asilolipenda kulivaa kama chupi a.k.a
kufuli. Irene amesema hayo alipokuwa
akizungumza na magazine maarufu ya
burudani ya VIBE.
Alipoulizwa na mwandishi wa jarida hilo kuwa ni
nguo gani ni vigumu kuikuta kwenye kabati lake,
“ Chupi – sipendi kabisa hilo vazi” Alisema Irene
uwoya.

TUMEAMIA HUKU