STAA wa Bongo Fleva, Ali Kiba amepeleka kilio kwa mashabiki wa Bongo Movies baada ya kuifungia Bongo Fleva bao pekee katika mechi yao ya Tamasha la Usiku wa Matumaini muda huu Uwanja wa Taifa jijini Dar.
Milioni 392 Zajenga Barabara HEWA Dar es Salaam
-
Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Boniface Jacob amebaini matumizi ya Sh392
milioni zilizoandikwa kwenye taarifa ya manispaa hiyo kuwa zimetumika kwa
ajili y...