Tamasha la Nyama Choma linalohusisha ulaji wa nyama zilizochomwa na wachomaji wa aina mbalimbali kutoka Afrika Mashariki limefanyika jana katika viwanja vya Posta Kijitonyama jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na watu wa rika zote.
Kajala akiwa na mwanae
Tamasha hilo ambalo limedhaminiwa na Heineken ,Henessy pamoja na JackDaniels lilipambwa na muziki kutoka kwa Mashujaa Band pamoja na michezo ya watoto na wakubwa.
Wadau wakipata moja moto, moja baridi
Wadau wa Nyama Choma
Band ya Mapacha watatu ikiongozwa na Jose Mara
Masai akichoma Nyama
Master Jay akiwa na Cpwaa
Mtoto akionyesha uwezo wake wa kucheza muziki
Wadau wakipata burudani
Wadau wakisakata rhumba
Tamasha hilo ambalo limedhaminiwa na Heineken ,Henessy pamoja na JackDaniels lilipambwa na muziki kutoka kwa Mashujaa Band pamoja na michezo ya watoto na wakubwa.
Wadau wakipata moja moto, moja baridi
Wadau wa Nyama Choma
Band ya Mapacha watatu ikiongozwa na Jose Mara
Masai akichoma Nyama
Master Jay akiwa na Cpwaa
Mtoto akionyesha uwezo wake wa kucheza muziki
Wadau wakipata burudani
Wadau wakisakata rhumba