Featured Posts

Sunday, June 8, 2014

JE UNAJUA UKATAJI KIUNO KWAAJILI YA KUJIPA RAHA WAKATI WA MCHEZO?SOMA HAPA UPATE MAUTUNDU

Hey Kagaruki, asante sana kwa mail yako na ushirikiano. Mwanamke anasikia raha inayopelekea utamu ikiwa uume unabadili "mwenendo" ndani ya uke, hali hiyo husaidia mwanamke kuhusi kona zote za uke wake zinafanyiwa kazi.

Lakini katika hali halisi sio wanaume wote wanaojua kucheza na uume wakiwa ndani ya uke zaidi ya kuingia na kutoka (nje-ndani) sio hivyo pia wakati mwingine mwanaume anashindwa kufanya hivyo kwa muda wa kutosha kutokana na utamu/raha atakayokuwa anaisikia kutokana na tendo lote kwa ujumla.


Nadhani hii ndio ilikuwa nia na madhumuni ya Bibi/Shangazi zetu kutuweka chini nakutufunza (baadhi yetu) namna ya kuzunguusha kiuno kwa ajili yako mwenyewe na sio kwa ajili ya mumeo/mpenzio.

Ukataji wa kiuno ka raha yako mwanamke:Unatakiwa kukata kiuno wakati wowote utakapojisikia kufanya hivyo au pale unapotaka kufika kileleni haraka. Namna ya ukataji wa kiuno huu ni tofauti na ule wa jukwaani pia ni tofauti na ule wa kumsaidia mwanaume amalize haraka (kwamba anapata utamu kiasi kwamba anahisi kutaka kufika mapema)....

Mwanamke unatakiwa kukata kiuno kitakachokufanya uhisi kuwa unauzunguuka uume ukiwa ndani ya uke wako, kaza misuli yako ya tumbo kisha aanza kukizunguusha wakati yeye mwanaume anaendelea na nje-ndani kama kawaida...hilo moja.

Pili, wakati mnaendelea kufanya mapenzi, mwanamke unatakiwa kutafuta kona nzuri ya uke wako na kuubana uume kona hiyo na kuanza kukizunguusha kiuno. Vilevile unaweza kuwasiliana na mumeo/mpenzi wako wakati tendo linaendelea mtegee mpenzi akifika mwisho wa uke....shikilia kiuno/makalio yake fanya kama unamkandamiza chini zaidi....panua miguu alafu kata kiuno kwa.

Kwa kufanya hivyo utasikia utamu kila kona ya uke wako kwani uume ukiwa fully ndani na yeye mwanaume katulia wewe unakuwa na nafasi ya kucheza na uume huko kwa kubadilisha ukataji wa kiuno chako nahivyo kona zako zote za uke kuguswa vile utakavyo wewe.

Ukataji wa kiuno kwa ajili ya mwanaume: Hapa mwanamke unatakiwa kujia timing, sio akiingiza tu wee unaanza kukata kiuno...it's boring alafu by the time unatakiwa kufanya hivyo utakuwa umejichokea.....

Pia inategemea na ufanyaji wa mwanaume husika kwani kuna wanaume wengine huwa hawatoi nafasi kwa mwanamke kukata kiuno kwani kuna mikunjo mingine kwakeli inakuwa ngumu sana kufanya chochote zaidi ya kutoa mihemo na sauti za raha kama sio discomfort!
Ukataji wa kiuno ili kumpa mwanaume raha zaidi na hatimae utamu wa tendo unatakiwa kukatwa ktk mtindo wa kubana na kuachia na wakati unafanya hivyo kwa kutumia kiuno pia unatakiwa kushirikisha misuli yako ya uke.
Ukataji wa kiuno huu sio rahisi kwa kila mko, ila kuna mikao inayokufanya uweze kukata kiuno hiki kwa urahisi zaidi. Mikao kama mwanaume/mke juu/chini(kifo cha mende), Kipepeo, vijiko, kisusio, mbuzi kagoma/miguu minne, kuogelea (mwanamke chini), Kumi na 7/4 na mkao woowte utakao buni ambao unakuwezesha wewe mwanamke kukata kiuno ktk mtindo huu.
Natumaini maelezo yangu yamesaidia kuelewa tofauti ya ukataji wa kiuno.
Kila lililojema!

TUMEAMIA HUKU