Featured Posts

Saturday, June 28, 2014

EZEE MWISHO CHALINZE: MZEE MAGALI KUHUSU YEYE KUITWA MZEE, ADAI BADO DAMU YAKE INACHEMKA



Msanii  wa  filamu anayeweza kushika kipande chochote na kufanya vizuri, Charles Magali  maarufu  kama  Mzee Magali  amesema  yeye  si  mzee  bali  anatumia  jina  hilo  kwenye  sanaa  na  bado  ana  nguvu  kama  za  miaka  20  iliyopita.....

Alisema  kuwa  wapo  vijana  ambao  wanaonekana  ni  wabichi  lakini  hawana  nguvu  kama  zake, hivyo  hawawezi  kujifananisha  naye  hata  kidogo, ingawa kwa upande wake anatunza heshima kutokana na  kuwa   na   familia ....

"Ndani ya tasnia  yoyote  hakuna mzee, mimi naweza kushika pati  yoyote na nikaifanya vizuri. Kwenye maisha ya kawaida wapo vijana wa miaka 20 lakini  hawana nguvu, wamechoka na hawawezi kujifananisha  na  mimi," alisema

TUMEAMIA HUKU