ambo ya kanga moja laki si pesa.....walikuwemo pia....!!
Haya mambo mengine tunapandishana presha tu mi nahemea juu juu tu hapa sijui ndio midadi?! Ebu naombeni maji ya kunywa. |
KITU ndembe ndembe...kanga mpya ailoi maji......
!! kit6u ndembe ndembe....!!
kitu mwake waacha weeee....agha ghaaaaaaaa .......laki si pesa
Ndembe ndembe khaaa! kweli laki si pesa |
Ile laki si pesa balaaaaaaaaaaa sanaaaaaaaaaa, endelea kufatilia Mbuzi Mzee Blog kwa matukio zaidi.