Featured Posts

Saturday, April 12, 2014

MWISHO MWAMPAMBA:KAZI MPYA, NYUMBA MPYA NA FAMILIA INA AFYA NJEMA-AM HAPPY

Huenda mwakilishi wa mara mbili wa Tanzania kwenye shindano la Big Brother Africa, Mwisho Mwapamba anaufurahia zaidi wimbo wa Pharrell Williams, ‘Happy’ kuliko mtu mwingine yeyote.

“Nashukuru sanaa mungu kwa kunipatia kazi mpya kitu kipya cha kujifunza! pia biashara zaenda sawa ! new house ni mzuka sanaa uhuru wa kutosha japo umeme bado ila ndio mambo yangu hayo. pia family ipo njema kiafya so im very happy! just miss my kids na wife kuspend muda pamoja but its all good sikuzinaenda kwa kasi na when u fight the good fighty, u fight good,” kupitia Facebook, ameandika Mwampamba ambaye kwa sasa anaishi nchini Namibia na mke wake Meryl Vuyeya Mwampamba (japo kwa sasa yupo nchini).

TUMEAMIA HUKU