Featured Posts

Friday, April 11, 2014

CHUO IRINGA WAFANYA PARTY YA KUNYONYANA NDIMI MSHINDI AJINYAKULIA 2,500.000.. TAZAMA HAPA



 
Lucy, Salama na Amina wakishindana 
kunyonyana ndimi ilikuwa kama movie vile
 
Raheri na Suzy wakiwa kwenye hisia kali za kunyonyana ndimi hadi mshindi apatikane.
 Hawa Xdeejayz haikupata majina yao nao pia wakiwa kwenye kwenye shindano hilo. 
Jackline na Neema kama wanavyoonekana 


Angel na Monalisa kulia wakiwa kwenye bize kuhakikisha mshindi anapatikana bila upendeleo
Na Mwandishi wa Xdeejayz- Iringa
Hakika ni ukweli kwamba taifa letu la tanzania linakwenda kuangamia kwa kwani vijana wengi tunaowategemea kuwa viongozi wa kesho na tegemeo kwa tafia hili wameendelea kuonesha tabia za ajabu kiasi cha kuogopesha.
Wasichana kadhaa wanaosoma kwenye chuo kimoja maarufu mkoani Iringa jina linahifadhiwa wamenaswa na kamera za Xdeejayz wakifanya part ya kushindana kunyonyana mate hadi mshindi kupatikana.
Kwa mujibu wa chanzo chetu kilichopenya hadi kwenye part hiyo iliyofanyika kwenye ukumbi 
mmoja wa Hotel maarufu Mkoani humo inayomilikiwa na mfanyabishara aliyefahamika kwa jina la Pongezi Sanga iitwayo Vavene Hotel wasichana hao walikuwa zaidi ya kumi.
Hata kwa kweli hatari kubwa sana kwa matukio ya wakina wanafunzi hao wa vyuo kwani kiukweli taifa letu liko hatarini kukosa viongozi baadae kwani kwa vitendo hivi hakika hapo hakuna kiongozi mtarajiwa.
Msomaji mmoja wa Blog hii aliyejitambulisha kwa jina la Nyakulinga alisema " Yani hii ni hatari upuuzi huu kweli tutategemea kupata mawaziri hapa au rais wa nchi? Hawa viongozi tuliokuwa nao sasa hawakuwa hivi ndiyo maana wanatuongoza lakini kama wangekuwa hivi na wao leo hii tusingepata viongozi bora" Alisema mzee huyo hadi machozi kumtoka kwa uchungu.
Katika shindano hilo msindi alikuwa Salama na Suzy ambao ambao walijinyakulia kitita cha shilingi milioni mbili na nusu.
CREDIT: XDEEJAYZ TANZANI

TUMEAMIA HUKU