Featured Posts

Saturday, April 19, 2014

KAJALA AFUNGUKA KUHUSU MACHOZI YA AJABU


Staa wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja ‘K’


STAA wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja ‘K’ amefunguka kuwa machozi yake huwa yapo karibu hivyo ukimuudhi kidogo tu lazimaalie.
Akipiga stori mbili-tatu na Bongowood, Kajala alisema: “Machozi yangu yapo karibu sana sijui kwa nini huwa nashindwa sana kujizuia yaani mtu akinikorofisha kidogo tu lazima nitoe machozi ndipo hasira zitulie.”
CDT:GPL

TUMEAMIA HUKU