Featured Posts

Wednesday, May 28, 2014

BUNYERO BUNYERO YA MAISHA CLUB NI SHIDA. CHEKI HAPA MAPICHA YOTE

















TEAM CRAYZE nao walikuwepo full kujidabua

Rihama ally nae alikuwepo pia alitoa yake ya moyoni kuhusu wote wanaodhania kwamba kibao kata ni uhuni, aliwapa ukweli na kuwaambia kuwa huu ndo mziki wetu na kiuno ndio hasili yetu,wacheni tukatikee

Mkuu wa itifaki gilla akimwambia kijana wake wa kazi aongeze mike ingine kwa wapiga kibao kata hili tusikie vizuri maneno ya shombo.

Mtoto fetty akiwa na mama naa pamoja na nai nai wakifatilia kwa makini kibao bunyero bunyero za kibao kata.





Mchina alijulikana kwa jina moja la dong akijidapua na kabinti special kwenye kibao kata......



watu wakijidabua kwenye kibao kata

Boke akifatilia kwa makini kibao kata



Queen happy akiwa na miss mtwara zuhura a.k.a zou kamili gado.jumatano iliyopita new maisha club

 

 

 Siku hiyo nzima mziki ni taarabu,mduara,arabik na miziki ya kimwambao tu

 

Mabinti wakifatilia kwa makini kibao kata

 Hamza balla nae alikuwepo....

 zuhura gora anapenda sana kuchati zou kamiligado hapo itakuwa anaita mashoga zake waje wakionee bunyero bunyero.

 Lady naa a.k.a mutoto mlito yeye ndio alipewa nafasi yakuongelea maana ya jina la bunyero bunyero

 ilikuwa noma sana kwakweli usikose jumatano hii.

TUMEAMIA HUKU