Featured Posts

Thursday, May 29, 2014

MASOGANGE KWA SAUZI NOMA! AVISHWA PETE BEI MBAYA NA KUDUNGWA MIMBA NA JAMAA

Habari mpya ni kuwa Agnes Masogange ambaye ni video queen maarufu nchini amevishwa pete ya uchumba yenye thamani ya shilingi mil.16 za kitanzania. 
 
Habari zaidi zinadai kuwa Masogange kwasasa ni mjamzito na alipoenda Afrka  Kusini hivi juzi kati kumuambia jamaa
 aliyempa mimba kuwa ana ujauzito wake Jamaa huyo alifurahi sana na kumvisha Masongange pete inayoonekana pichani ambayo Agnes mwenyewe aliweka picha hiyo katika mtandao mmoja wa kijamii na kuandika maneno yasemayo "mama kijacho".

TUMEAMIA HUKU