Featured Posts

Thursday, May 29, 2014

MKOROGO NOMA CHEKI, DYNA NYANGE ALIVOBADIRIKA

Picha hapo Juu ni Kabla na Baada ya Dayna Msanii wa Bongo Flava Kujichubua na Kuwa Mweupe Kama Mzungu, hii inamfanya aingie katika list kubwa ya Mastaa wa Bongo waliojikoboa Ngozi na Kubadilika kabisa muonekano,
Swali Langu : Sikuhizi ukiwa Staa ni Lazima Ujichubue ? Kuna Siri Ngani Huko ? na Je Hawaelewi Madhara ya Kujichubua

TUMEAMIA HUKU