Katika kile kinachoonyesha kuwa ni kukubalika kwa ngoma za kibongo ni pale ambapo wazung walionyesha kuikubali ngoma ya mdogomdogo ya diamond na kucheza kiustadi kubwa kama vile
wanajua kinachozungumziwa, hii nliktana nayo maisha club dodoma upande wa vip ambapo ilipopigwa ngoma hiyo ya diamond wazungu ambao wengi ndio wanakuwa upande wa VIP walipiga kelele huku wakiiga staili ya kucheza nyimbo ya mdogomdogo, pia wakijaribu kutamka maneno mawili matatu japo kwa shida,
Milioni 392 Zajenga Barabara HEWA Dar es Salaam
-
Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Boniface Jacob amebaini matumizi ya Sh392
milioni zilizoandikwa kwenye taarifa ya manispaa hiyo kuwa zimetumika kwa
ajili y...