Featured Posts

Wednesday, September 17, 2014

MWANAFUNZI WA CHUO AKIMBIA CHUO BAADA YA PICHA ZAKE CHAFU KUSAMBAA MTANDAONI

Pepo la picha za uchi lazidi kushamili katika vyuo vikuuu hapa nchini,cheki huyu mwanachuo wa mwaka wa 2 amejikuta katika wakati mgumu adi kufikia maamuzi ya 
kukimbia chuo, kisa boy wake kusambaza picha zake, kwa marafiki zake bila kujua kua zitafika kwenye mitandao ya kijamii,ila wakati aliposhuudia picha zake hizo aliamua kukimbia chuo na kutokomea kusikojulikana bado haijaeleweka wapi amekimbilia ila....hakuna anaejua yupo wapi ni onyo tu kwa wale wenye tabia ya kuwapa watu picha zao chafu....kama kuna picha ambayo wewe unaona haina maadili usimpe mtu hata kama unamuamini vipii
KUTAZAMA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA .

TUMEAMIA HUKU