
picha na mwandishi wetu wa paparazi huru ted
Asubuhi ya July 18 kutoka Moshi zilitoka taarifa zamfanyakazi wa ndani wakiume [Houseboy] kumpasua kichwa mtoto mdogo wa darasa la 3 kisha ubongo wakekuamua kuutafuna na kumkata ume na kuutafuna pia na kisha kujikata koroda zake sehemu za siri na kujichoma kisu kifuani..