mara nhingi huwa binadamu tunawajua wakishapata kutokana na ukwelli uliopo kwamba jinsi unavyokuwa na pesa ndio unavyojichanganya zaidi na watu kwa wingi, kwa wanaomjua huyu msanii toka nairobi nchini kenya jaguar hii ndiyo picha yake ya enzi hizo bado hajakkamata mpunga, kweli kuna mabadiriko sana ,pesa kweli ni tamu cheki hapa jamaa alivyochenji kabisa , kwa kusaidia tu, jaguar ni huyo alowkewa herufi J
Milioni 392 Zajenga Barabara HEWA Dar es Salaam
-
Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Boniface Jacob amebaini matumizi ya Sh392
milioni zilizoandikwa kwenye taarifa ya manispaa hiyo kuwa zimetumika kwa
ajili y...