tukio hili la kustahajabish lilitokea nchini kenya ambapo mbuzi katika hali ya kushangaza alizaa kitotoambacho kiwiliwili ni cha mbuzi na kichwa ni cha binadamu, tukio hilo liliza gumzo miongoni mwa wanakijiji waliohudhuria tukio hilo kkwani wengi wanasema ni tukio la kwanza kutokea mtaani hapo, wengi wao walikiushisha kitendo hicho na imani za kishirikina huku wengine wakidai ni miujiza tu ya mwenyezi mungu, hata hivyo kimwanambuzi hicho kilifukiwa kwani tayari kilikua kimeshafariki
Milioni 392 Zajenga Barabara HEWA Dar es Salaam
-
Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Boniface Jacob amebaini matumizi ya Sh392
milioni zilizoandikwa kwenye taarifa ya manispaa hiyo kuwa zimetumika kwa
ajili y...