Jamaa anajituma sana na kila kukicha hachoki kupiga show iwe bongo au ahapahapa tanzania, hivi juzi msanii diamond ameonekana akipaki mtaani akiwa anaendesha ndinga mpya kabisa ambayo ilionekana kuwa ni ya gharama sana japo haiweza kujulikana ni aina gani ya gari hilo kutokana na kutoonekana hapa bongo, msanii huyo alionekana mitaa ya sinza mori ambako ndiyo makazi yake hivi sasa,
Milioni 392 Zajenga Barabara HEWA Dar es Salaam
-
Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Boniface Jacob amebaini matumizi ya Sh392
milioni zilizoandikwa kwenye taarifa ya manispaa hiyo kuwa zimetumika kwa
ajili y...