Wanawake
watatu katika soko la mkulima Tabora mjini wamejikuta wakipeana kipigo
kikali mchana kweupe wakati walipokuwa wakifanya biashara za mboga mboga
hatua ambayo ilisababisha kuharibu sehemu ya bidhaa wanazouza.
![]() |
Chanzo
cha ugomvi huo kimetokana na mmoja wa wanawake hao kuwa mbabe kwa
wenzake na hivyo kushindwa kumvumilia kutokana na vituko vyake.![]() |
muda mfupi baadaye waliamuliwa ugomvi huo na askari polisi Fakih Abdul aliyekuwa akipita sokoni hapo.