Featured Posts

This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

Thursday, July 31, 2014

DIAMOND, ADAI HATOOA KAMWE, UNAAMBIWA NI SHARTI LA KUTOSHUKA KIMZIKI

Kutoka moyoni? Wakati bimkubwa Wema Isaac Sepetu akijiaminisha na kuhisi kuwa amepata mume ambaye ni baba bora, mwandani wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ amefunguka kuwa kamwe hafikirii kuoa, Ijumaa lina cha kukuhabarisha. Wema Isaac Sepetu akiwa kwenye pozi la kimahaba na mwandani wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ Kauli hiyo ya Diamond inakuja wiki kadhaa baada ya Wema kuonekana na pete ya ndoa kidoleni kisha kukiri kuvishwa na ‘kichaa’...

TUNDA MAN YAMKUTA MAZITO

Memba wa Kundi la Tip Top Connection, Khalid Ramadhan ’Tunda Man’ amekutwa na mauzauza baada ya kupokea simu yenye namba zinazodaiwa kuwa za ajabu na kumsababishia atokwe damu puani, mdomoni na kupooza upande mmoja. Memba wa Kundi la Tip Top Connection, Khalid Ramadhan ’Tunda Man’ akiwa katika Hospitali ya Palestina. Chanzo makini kilicho karibu na msanii huyo ambacho kilikuwa ndani ya Hospitali ya Palestina ambako Tunda Man alilazwa, kimeeleza...

SEKESEKE LA IDD BINTI ANASWA CHOCHORO NA JAMAA , AMWAGIWA MAJI YA MOTO

HILI kweli ni sekeseke la Idd el Fitr. Wakati changudoa mmoja akinaswa na kumwagiwa maji na wananchi waliochoshwa na vitendo vya ukahaba vinavyofanywa jirani na makazi yao, msichana mwingine aliokotwa akiwa amelewa chakari na kudhaniwa kuwa na mapepo, maeneo ya Sinza Afrikasana jijini Dar Jumanne hii. changudoa anaswa na njemba na kumwagiwa maji ya moto. Katika tukio la kwanza lililotokea Idd Mosi, wakazi wa maeneo ya Afrikasana, waliamua...

NJEMBA KIBAO ZAPIGANIA KUMWOA MWANADADA JOKATE

Stori: Mwandishi wetu Baada ya hivi karibuni mwanamitindo Jokate Mwegelo kutangaza kutafuta mchumba, idadi kubwa ya wanaume wamekuwa wakihaha kusaka mawasiliano naye huku kila mmoja akijinadi kivyake. Mwanamitindo Jokate Mwegelo. Mara baada ya habari ya Jokate ya kutafuta mchumba kutoka kwenye gazeti hili wiki iliyopita, namba ya simu ya chumba chetu cha habari imekuwa bize kupokea simu za wanaume mbalimbali wakiomba kuunganishwa na mrembo...

BAADA YA MWEZI MTUKUFU, MASTAA WARUDI KWENYE VIVAZI VYAO VYA KUWAUMIZA WANAUME

Ndani ya mwezi mtukufu mastaa wengi walionekana kuvaa kiheshima huku wakijisitiri sehemu zao nyeti lakini cha ajabu mara baada ya mfungo, baadhi wamerejea mavazi yao ya kimitego. Video queen Agnes Masogange akipozi. Uchunguzi uliofanywa na Ijumaa mara baada ya Sikukuu ya Idd kupita umebaini baadhi wamerejea kwenye mavazi yao ya kihasara, mazingira yanayoashiria kuwa, walihamia kwenye mavazi ya kiheshima kinafiki. Mrembo aliyeng’ara kwenye...

PICHA JINSI CHAMELEON ALIVYOTUA DAR NA KUPOKELEWA

...

SUGAR MUMMY ADHALILISHWA BAADA YA PICHA ZAKE ZA UTUPU KUSAMBWAZA NA SERENGETI BOY WAKE!!! INGIA HAPA

Huyu Mama ni mtu mwenye hela zake ....anajihusisha na BIZINESI mbalimbali..sasa kama unavyojua tena Mambo ya wamama wa mjini!!! akawa na mahusiano ya kimapenzi na kijana ambae kimsingi walikutana kwenye maswala ya Biashara...sasa baadaya ya penzi kukolea....

TAZAMA MAKALIO YA KIM KARDASHIAN YALIVYOWAPAGAWISHA WANAUME MITAANI

...

SOMA HAPA KUJUA MWANAMKE NA MWANAUME NANI ANAPENDA KALE KA MCHEZO SANA

KATIKA mapenzi kuna mambo mengi sana ambayo wahusika wanapaswa kuyafanya; leo tujadili suala la faragha. Nazungumzia tendo la ndoa.Hivi ni nani ambaye anamhitaji mwenzake zaidi ya mwingine? Ni mwanaume au mwanamke? Kati ya wawili hawa ni nani anayetakiwa kuwa wa kwanza kumuanza mwenzake?Ni mwanaume au mwanamke?Wenzi wanapokuwa faragha kati yao akijisikia kuingia 'mzigoni' na mwenzake, nani mwenye haki zaidi ya kumweleza mwenzake moja...

HAWA WASANII PASUA KICHWA, ETI UWOYA NAE AWA TAJIRI GHAFLA BIN VUU, SOMA HAPA

...

NDOA YA RUTH KOMBA NA MZUNGU WAKE YAINGIA KWENYE MIZENGWE..SOMA ZAIDI

HUKU akiwa kwenye vikao vya maandalizi ya harusi na Mzungu, staa wa filamu Bongo, Lucy Francis Komba (pichani na mchumba wake), amejikuta katika wakati mgumu baada ya habari kudai kwamba, mchumba wake huyo amemwambia ili ndoa ifungwe lazima aoneshe cheti cha kipimo cha Ukimwi kwanza. Staa wa filamu Bongo, Lucy Francis Komba akiwa na mchumba wake.  Chanzo chetu cha habari kikizungumza na Amani juzi, kilisema kwa sasa Lucy anahaha...

MHUDUMU WA BAA WA KIUME DAR ANASWA AKIMNYONYA MTEJA WAKE MAZIWA LIVE BILA CHENGA

Muhudumu wa kiume wa baa moja maarufu iliyopo Posta Jijini Dar hivi karibuni alinaswa akifanya ufuska kwa kumnyonya maziwa hadharani mteja wake na kuacha kazi. Tukio hilo ambalo lilishuhudiwa pia na wahudumu wa baa hiyo ambapo awali dada huyo alionekana kukolea kilaji kupita kiasi na kukosa stamala na baadaye kujikuta akifanya upuuzi huo.  Kijana huyo aliyefahamika kwa jina la Emmanuel Chambuso alijikuta kwenye wakati mgumu baada ya...

NOMA SANA JAMAA AFUMWA AKILA URODA NA CHANGUDOA CHOONI BILA WASIWASI,

jamaa huyu amenaswa nadni ya pub moja maarufu mjini jijini mwanza akiwa na kahaba wakiponda raha chooni bila wasiwasi wowote, watu walioshuhudia tukio hilo wamedai jamaa alikuwa akila uroda usiku huo kwani baada ya kufumwa demu alionekana kuvaa nguo yake ya ndani faster, hii tabia ya kuchepuka ni hatari sana jamani ukimwi bdo hupo...

SOMA HAPA UJUMBE WA DIAMOND KWENDA KWA MASHABIKI WAKE INAKUHUSU SANA HII

Japokuwa nina show Canada tareh 2 lakini ilinibidi kwanza nilete Mzigo nlioagizwa na Wananchi Nyumbani kisha ndio nirudi kuendelea na shughuri zangu!... Kama wasemavyo "There is no place like Home... Ev...

VIONGOZI WA UMOJA WA KATIBA YA WANANCHI (UKAWA)WATOA TAMKO LA LAO KUHUSU WITO ULIOTOLEWA NA VIONGOZI WA DINI KUWATAKA WAREJEE BUNGENI

Viongozi wakuu wa Umija wa katiba ya wananchi (UKAWA) wakishikana mikono kuashiria umoja mara baada ya kuongea na wandishi wa habari kutoa Tamko la Ukawa kuhusu Wito wa Viongozi wa Dini wa kurudi Bungeni kutoka kulia ni profesa Sfari katibu mkuu wa NCCR mageuzi Mosena Nyambabe ,mwenyekiti wa chadema Freeman Mbowe ,Mwenyekiti wa CUF Profesa Ibrahim Lipumba,Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi Jaqmes Mbatia na katibu mkuu wa Chadema Wilbrod Slaa...

RAY NA CHIKI WAZIDI KUTIFUANA, SOMA HAPA UNDANI WA BIFU LAO HAPA

BAADA ya kuibuka sintofahamu kati ya waigizaji wa Bongo Movies, Salum Mchoma ‘Chiki’ na Vincent Kigosi ‘Ray’, Chiki ameibuka na kuzungumzia ishu hiyo. Staa katika tasnia ya filamu Bongo Vincent Kigosi ‘Ray’, Akipiga stori mbili tatu na paparazi wetu, Chiki alisema kuwa yeye na Ray hawakuwahi kuwa na bifu kama inavyozungumzwa kwenye mitandao ya kijamii isipokuwa walipishana kauli kidogo katika bethidei ya muigizaji Mahsein Awadh ‘Dk. Cheni’...

TAZAMA HILI JIMAMA UNAAMBIWA BILA SUPU YA PWEZA UTASUBIRI SANA KULIFANYA LIPIGE KELELE

hili jimama dah tazma linavyojitutumua na kuonyesha body lake live bila chenga na linadai bila mtu kunywa supu ya pweza huwezi kulifanya lolote,...

AIBUU...NGUO FUPI ZAMUUMBUA DADA HUYU NA KUJIKUTA KUACHIA UTAMU WOTE NJE, TAZAMA HAPA

...

WAKUBWA TU TU:MREMBO AVUJISHA PICHA ZA UTAMU WAKE AKIWA ANAOGA BAFUNI..NI SHIIIDAH

Laana hii picha kama hizi wadada haziwezi kukupa umaarufu bali ni aibu kwa jamii.Bofya happo chini kuziangalia ila sharti ...

AMA KWELI UTU UZIMA DAWA, JIDE ATUA BILA MAKELELE, TAZAMA STYLE ALIYOTUA NAYO BONGO BAADA YA KUSHINDA TUZO

...

MASKINI ROSE MUHANDO, AFANYIWA KITU INAUMA NA WAHUNI, MWENYEWE AJUTA, SOMA HAPA

MWIMBAJI mahiri wa muziki wa Injili, Rose Muhando amelalamika kuwa albamu yake ya Kamata Pindo la Yesu Albamu anayotarajia kuizindua Jumapili wiki hii imeingizwa mtaani na wezi wa kazi za wasanii, hivyo kuonya wananchi wawe makini kwani albamu yake halisi itatoka Jumapili. Taarifa kwa vyombo vya habari aliyoitoa Muhando jana, ilieleza kuwa albamu yake halisi bado haijaingia mtaani na kwamba hiyo wanayoiona wananchi sasa ni bandia...

Wednesday, July 30, 2014

BALAA LA CLUB ZA USIKU WAKATI WA SIKUKUU...NI HATARI TUPU AISEEE...MZAZI KAA CHONJO...!

...

WEMA NDANI YA BIFU ZITO NA MAMA YAKE, MWENYEWE AFUNGUKA HIVI, SOMA HAPA KUJUA ZAIDI

Na Waandishi Wetu STAA wa filamu Bongo, Wema Sepetu ametaja sababu zinazomfanya aingie katika mgogoro na mama yake mzazi, Miriam Sepetu kuwa ni suala la uchumba wake na Nasibu Abdul ‘Diamond’ ambao alikuwa akiupinga mara kwa mara. Staa wa filamu Bongo, Wema Sepetu. Akipiga stori na mapaparazi, Wema alisema kwa muda mrefu alikuwa akitofautiana kauli na mama yake katika suala zima la uhusiano wake na Diamond lakini anamshukuru Mungu amemuelewa...

CHEKIBUDI ADAIWA KUDHULUMU

STAA wa sinema za Kibongo, Nurdin Mohammed ‘Chekibudi’ amejikuta ameingia kwenye bifu kali na mwigizaji Helen Luanda ‘Zerishi’ baada ya mwanadada huyo kumtuhumu kuwa amemdhulumu kazi yake ya filamu.Staa wa sinema za Kibongo, Nurdin Mohammed ‘Chekibudi’. Akipiga stori na paparazi wetu, Zerishi alisema aliamua kumshirikisha Chekibudi kwenye kazi yake na kukubaliana naye ampelekee filamu yake sokoni na kumlipa shilingi milioni nne baada ya filamu...

MUME AMPIGA MKEWE AKISWALI NA KUMJERUI VIBAYA

TUHUMA nzito ya aina yake ambayo haijawahi kutokea ambapo mkazi mmoja wa Tandale – Kwatumbo wilayani Kinondoni jijini, Idd Mpenda anadaiwa kumshambulia na kumjeruhi hadi kuzimia mkewe, Nasra Dafa (30) wakati akiswali. Bi. Nasra Dafa (30) aliyeshambuliwa na mume wake wakati akiswali. Akizungumza na Amani huku akimwaga machozi, mwanamke huyo alisema tukio hilo lilijiri Julai 28, mwaka huu saa saba mchana wakati akiswali maeneo ya duka lake lililopo...

TUMEAMIA HUKU