mkali wa miondoko ya bongeo flava diamond platinumz, hatulii bongo kabisa safari kibao, na sasa amepata shavu lingine la kupiga show ubelgiji, msanii huyo ametupia picha usiku huu akijiandaa kukwea pipa kuelekea pamde hizo huku akiwaaga mashabiki wake waa bongo. big up diamond endelea kuipeperusha bendera ya nchi yetu, japo umekosa tuzo ila husikate tamaa
Milioni 392 Zajenga Barabara HEWA Dar es Salaam
-
Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Boniface Jacob amebaini matumizi ya Sh392
milioni zilizoandikwa kwenye taarifa ya manispaa hiyo kuwa zimetumika kwa
ajili y...