Featured Posts

Wednesday, June 18, 2014

JAY DEE AJIBU TUHUMA ZINAZOMKABILI ZA KUMPIGIA MAGOTI RUGE WA CLOUDZ FM

Kuna story moja imeandikwa kuhusu lady jaydee kumpigia magoti Ruge na gazeti la pilipili. Vibe Tanzania  hatutaki kuzungumzia kuhusu kilichoandikwa kwenye gazeti la pilipili lakini tulifanikiwa kuongea na lady jay dee kuhusu habari hizo naye alisema habari hizo sio za kweli na inamuuma sana jinsi watu wanavyopenda kuandika uongo juu yake.Lakini amesenma ipo siku ukweli utajulikana tu…
Lady-Jaydee-vibe-magazine

TUMEAMIA HUKU