lile bao alilofunga robin van persie na kuzua gumzo ,limeendelea kupasua vichwa vya watu mbali mbali ambapo wngine wameibuka na kudai sio bao la kawaida bali alilifunga kwa nguvu za free masoni, moja ya picha iliyoshika kasi mtandaoni ni hii hapa chini tazama mwenyewe
Milioni 392 Zajenga Barabara HEWA Dar es Salaam
-
Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Boniface Jacob amebaini matumizi ya Sh392
milioni zilizoandikwa kwenye taarifa ya manispaa hiyo kuwa zimetumika kwa
ajili y...