Featured Posts

Thursday, June 19, 2014

BAADA YA KASHFA YA KUJIHUSISHA NA VITENDO VYA USHOGA, FALLY IPUPA AFUNGUKA HIVI

msanii wa dansi kutoka congo ambaye kwa mda mrefu amekuwa akidaiwa kujihusisha na vitendo vya mapenzi ya jinsia moja, hatimaye aliweka wazi na kufunguka kuwa hajawai kuwaza kuhusu tabia hiyo na kusema kuwa na rijali kabisa, fally alisema hayo wakati akihojiwa na kituo kimoja cha


television nchini humo, fally ambae amewahi kuwa katika bendi ya Koffi Olomidé, Quartier Latin International, tangu mwaka 1999-2006 amifanikiwa kutanua wigo wa mziki wake africa na ulaya kwa ujumla ambapo amefanikiwa kufanya colabo na baadhi ya wasanii ikiwemo Olivia ambae alikua katika group la G-unit pamoja na ule wimbo  wa jugpa aliomshirikisha J martinz ambao ulibamba sana klabu za 
hapa bongo

TUMEAMIA HUKU