Featured Posts

Sunday, June 22, 2014

WAFAHAMU BIFU LA WEMA NA JOKATE LILIPOFIKIA, BASI UKWELI WOTE HUU HAPA

Kama mnavyojua tena mashosti hawa hapo awali walikuwa katika BIFU la kuchukuliana bwana ambae ni Diamond....Hii ilitokea baada ya Wema kumshutumu Jokate kutembea na mpenzi wake Diamond (Kabla Wema hajapigwa chini na Diamond)..
Katika hali isiyotegemewa wawili hawa kumbe hawana tena kinyongo..na wapo SAWA.....Hehehhee...Hii imejidihilisha wazi hapo jana baaba ya Wema Ku-comment kwenye picha ya Jokate huko INSTAGRAM...Soma comment hiyo hapo juu..then utajuani nini hasa namaanisha..

TUMEAMIA HUKU