Mwanadada Shilole ambaye ni Muigizaji, mwanamziki, socialite, nk...Anashutumiwa kuwa rekodi ya kuwa na mahusiano ya kimapenzi na vijana ambao inasemekana amewazidi UMRI...Hivi karibuni kupitia mtandao wa INSTAGRAM, mwanadada huyu amekuwa akipost picha zenye utata..zikiashilia yuko kwenyemahusiano na kijana mmoja (jina lake halikufahamika)...Sasa hizo picha ndio hasa chimbuko la wadau kuanza ku-comment- positively na negatively.....!!!
Milioni 392 Zajenga Barabara HEWA Dar es Salaam
-
Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Boniface Jacob amebaini matumizi ya Sh392
milioni zilizoandikwa kwenye taarifa ya manispaa hiyo kuwa zimetumika kwa
ajili y...