Ilishawahi kutoka taarifa ambayo haikuwa rasmi kuhusu uhusiano wa kimapenzi kati ya Diamond Platnumz na Hamisa mobeto ambayo Soudy Brown leo ameonge na Hamisa Mobeto baada ya kusemekana kuna ofisi
anataka kufungua mabayo ndani yake kuna mkono wa mshindi wa tuzo 7 za Ktma2014 Diamond Platnumz
Milioni 392 Zajenga Barabara HEWA Dar es Salaam
-
Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Boniface Jacob amebaini matumizi ya Sh392
milioni zilizoandikwa kwenye taarifa ya manispaa hiyo kuwa zimetumika kwa
ajili y...