Recho alikuwa akizungumza na Victoria FM jana na ndipo alipoulizwa vitu viwili anavyovipenda kwenye maisha yake
Mbali ya muziki ninaofanya ninapenda kupika na mapenzi alisema Mimi nampenda mtu ambaye nampenda mimi, siwezi nikamsema ni mtu gani, nina mchumba, nina mpenzi lakini ni mpenzi wangu yaani boyfriend pia alisema huwa anapenda kufanya mapenzi na bby wake kila week alimalizia
Milioni 392 Zajenga Barabara HEWA Dar es Salaam
-
Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Boniface Jacob amebaini matumizi ya Sh392
milioni zilizoandikwa kwenye taarifa ya manispaa hiyo kuwa zimetumika kwa
ajili y...