Hit Maker wa ‘pombe yangu’ na ‘tema mate tuwachape’ leo ametoa Exclusive picha kupitiamillardayo.com kuhusu mjengo wake ambao upo Mbezi ya Kimara Dar es salaam na umechukua miaka 5 mpaka kumalizika.
Kwa sasa nyumba hii imemalizika na anaishi mlinzi tu na ni nyumba ya vyumba 4 Dinning na Sitting Room ambapo kuhusu gharama kamili ya mjengo huu Madee amesema hana kumbukumbu kamili ingawa kwa harakaharaka amedai ni kama milioni 100 za kitanzania.
Milioni 392 Zajenga Barabara HEWA Dar es Salaam
-
Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Boniface Jacob amebaini matumizi ya Sh392
milioni zilizoandikwa kwenye taarifa ya manispaa hiyo kuwa zimetumika kwa
ajili y...