"Huyu anaitwa Afande John kapata ajali mbaya mpaka kufariki maeneo ya kisarawe huyo yupo pale myfair TRA upande wa leseni za magari (Driving licence) pole kwa jeshi la polis pia na familia mwenyezi mungu ailaze roho yake pema peponi Amen. Ni kipenzi cha wengi."
Milioni 392 Zajenga Barabara HEWA Dar es Salaam
-
Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Boniface Jacob amebaini matumizi ya Sh392
milioni zilizoandikwa kwenye taarifa ya manispaa hiyo kuwa zimetumika kwa
ajili y...