Featured Posts

This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

Monday, June 30, 2014

UKATILI, MME AMPIGA MKE NA NYUNDO KICHWANI, AMCHARANGA KWA MAPANGA MWILI MZIMA,SOMA HAPA

DAH! Inasikitisha sana jamani. Faustina Selali, 38, mkazi wa Mgeta, Mvomero mkoani hapa, yupo kwenye mateso makali akijiuguza kutokana na kipigo alichopata kutoka kwa mumewe wa ndoa aliyemtaja kwa jina la Lugasiani John Miasiku, kisa kikiwa ni mumewe huyo kutaka kuoa mke wa pili. Faustina Selali,akiwa katika maumivu makali baada ya kushambuliwa na mumewe. Mwanamke huyo amelazwa katika wodi nambi 3 katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro,...

MAJANGA, MTOTO MIAKA 6, HAKUI, HAONGEI TAFADHALI SOMA HAPA UMSAIDIE MTOTO HUYU

HUSSEIN Jumbe ni mtoto mwenye miaka 6 sasa, lakini hakui, kwani hajaweza kukaa  wala  kuongea, mwonekano wake ni sawa na mtoto wa  mwaka mmoja, imekuwa kilio  na majonzi kwa mama yake  mzazi, Rukia Twalibu, mkazi wa Kilwa –Masoko, Mkoa wa Lindi. Mtoto Hussein Jumbe  mwenye umri wa miaka 6 sasa. Akizungumza kwa masikitiko makubwa na Uwazi mwishoni mwa wiki iliyopita katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Rukia...

MAMA WA MTOTO WA MIAKA MIWILI,ASEMA: ‘HATA MIMI NAPENDA KUISHI KAMA WENGINE’

NI kweli kama binadamu hujafa hujaumbika! Maana ya msamiati huu ni kwamba, siku binadamu anapoingia kaburini ndipo kuumbika kwake kulivyo!Selitian Nata (25) mkazi wa Kijiji cha Kisogo Kata ya Vigwaza Wilaya ya  Bagamoyo, Pwani amejikuta katika wakati mgumu kufuatia mguu wake wa kushoto kuvimba mfano wa tende kwa ugonjwa ambao bado haujapata tiba. Selitian Nata (25) mkazi wa Kijiji cha Kisogo Kata ya Vigwaza Wilaya ya  Bagamoyo, Pwani...

MISUKULE YAENDELEA KUMTESA MZEE WA UPAKO, MWENYEWE ALALAMA

MBALI na Askofu wa Kanisa la Full Gosple Bible Fellowship, Zacharia Kakobe kuteswa na misukule inayodaiwa kufufuliwa na baadhi ya makanisa ya kiroho nchini, Mchungaji wa Kanisa la Maombezi, Anthony Lusekelo ‘Mzee wa Upako’ (pichani) naye ameibuka na kucharukia suala hilohilo. Mchungaji wa Kanisa la Maombezi, Anthony Lusekelo ‘Mzee wa Upako’ akifafanua jambo. Akizungumza na Uwazi juzi, Mzee wa Upako alisema suala la misukule linamtesa sana...

WAKUBWA TU..LAANA AU TABIA?! BINTI WA KIGOGO ATUPIA PICHA ZA UC*I MTANDAONI

Imekuwa ni jambo la kawaida na pengine linalochukua sura mpya kwa sasa kutokana na watoto wa vigogo kupiga picha tata yaani za uch! na kuzitundika katika mitando kana kwamba wanajiuza.Nadhani wadau mtakumbuka hapa nchini watoto wengi mastar mbali mbali wa kike wamekuwa na tabia hiyo ya kuanika miili yao katika mitandao haswa BBM na whatsapp kujinadi kwa wanaume,sina haja ya kuwataja majina hapa maana ni uandikwa wameshaandikwa sana ila bado kila...

KURASA ZA MWANZO NA ZA MWISHO ZA MAGAZETI YA LEO JUMANNE JULY 1,2014

. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ...

siasa: Msajili wa vyama vya Siasa amzuia Mbowe kugombea tena uenyekiti CHADEMA

Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa imesema haitambui kuondolewa kwa kipengele cha ukomo wa uongozi uliofanywa na Chadema bila kufuata idhini ya mkutano mkuu wa chama hicho. Mwaka 2006, Katiba ya Chadema ilifanya marekebisho yaliyoruhusu wanachama kugombea uongozi bila ukomo wakati awali, waliruhusiwa kugombea kwa vipindi viwili vya miaka mitano. Barua ya Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi kwenda kwa Katibu Mkuu wa Chadema, inasema...

ALIYEKUWA AKIZUIA MAGARI YASIKANYAGE MAITI DAR NAE AGONGWA NA KUFARIKI PAPO HAPO, SOMA ZAIDI

WATU wawili wamefariki dunia jijini Dar es Salaam juzi akiwamo Emmanuel Ndahani (39) mkazi wa Kibamba, aliyegongwa na gari na kufariki dunia alipokuwa akiweka alama za matawi kuzuia gari zisikanyage maiti.  Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillius Wambura alisema Ndahani aligongwa na gari isiyofahamika kwa kuwa lilikimbia baada ya ajali hiyo.  Alisema Ndahani alikuwa akitaka kuzuia magari yasiukanyage mwili wa Onesmo Yarimunda...

PICHA : WANAFUNZI WA UDOMA WAGOMBANIA MABASI BAADA YA CHUO KUFUGWA

Askari polisi anayelinda usalama wa abiria na mali zao katika kituo cha mabasi yaendayo mikoani akijalibu kutoa maelekezo kwa wanafunzi wa UDOM waliofika kutafuta usafiri kituoni hapo na kukuta hali ya usafiri hailidhishi kutokana na uchache wa Mabasi.Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) wakigombania kulipa nauli kwa ajenti wa Basi la Urafika linalofanya safari zake kuelekea Iringa baada ya baadhi ya Vyuo kufungwa kwa pamoja na hivyo kufanya...

TUMEAMIA HUKU