kiwa mwasiti ndio ametambulisha rasmi video yake hii ya Serebuka, inayosifiwa na kila mtu jijini kwa jinsi ilivyokuwa na utofauti, uliotokea kutokana na idea iliyotumika katika kufanyika kwa video hiyo kali ya serebuka, mbali na uzuri wa video hiyo mengi yameanza kuongelewa haswa kutokana na Linah akionekana kubusu picha ya aliyekuwa mpenzi wake wa zamani Amini, huku watu kujiuliza ni nini haswa kinaendelea au ndio kuserebuka kwenyewe.
Milioni 392 Zajenga Barabara HEWA Dar es Salaam
-
Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Boniface Jacob amebaini matumizi ya Sh392
milioni zilizoandikwa kwenye taarifa ya manispaa hiyo kuwa zimetumika kwa
ajili y...