Featured Posts

Saturday, May 10, 2014

BAADA YA DIAMOND KUVAA KIMINI KTMA... OMMY DIMPOZI NAE ATUPIA MIZIGO YA KIKE

Kwenye mtandao wa twitter, mtangazaji wa Clouds FM Hamisi Mandi au wengi tukimfahamu kama B12 "B-Dozen" amemuuliza swali la kizushi Ommy dimpoz kuhusu viatu vyake alivyo vaa..

nahiki ndicho alichoandika... B12 nakuweka picha ya viatu hivyo..

"Hivi ndo Viatu Vya dimpoz, si kwa ubaya tunaomba ufafanuzi ni Vya kike au kiume?"

We unaonaje Msomaji?

TUMEAMIA HUKU