Featured Posts

This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

Saturday, May 31, 2014

TAZAMA PICHA YALIYOJILI KATIKA REDS MISS DODOMA 2014, WAREMBO WAKALI WALISHIRIKI, PICHA ZAIDI YA 20 HAPA

Adelaida Seenga mshindi wa Miss Dodoma 2014 akiwa na washindi wenzake, Wagesa Mshindi wa pili kulia pamoja a Linda mshindi wa tatu kushoto. Adelaida Seenga akiwa katika pozi la furaha mara baada ya kutangazwa kuwa Mshindi. Hatimaye mashindano ya kumtafuta mrembo wa Dodoma mwaka 2014 yamefanyika usiku wa kuamkia leo tarehe 31.05.2014 katika ukumbi mpya wa Kilimani Landmark ambapo mshindi wa mwaka huu Adelaida Seenga ndiye aliyeibuka kidedea...

MWILI WA GEORGE TYSON WAWASILI DAR, NI VILIO NA ZIMANZI, DADA WA MAREHEMU AZIMIA NA KUZUA HOFU

Waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa George Tyson kuupeleka mochwari. Jeneza lenye mwili wa George Tyson likiingizwa mochwari katika Hospitali ya Kairuki, Mikocheni jijini Dar. Mwili wa Tyson ukiwa mochwari katika Hospitali ya Kairuki. Dada wa marehemu Tyson, Doreen akilia kwa simanzi baada ya mwili wa kaka yake kuwasili. ...Doreen akiwa amepoteza fahamu baada ya mwili wa kaka yake kuwasili Hospitali ya Kairuki. Gari lililobeba...

DIAMOND PLUTNUMZ AKUTANA NA MASHABIKI WAKE HUKO WASHINGTON,DC, PICHA ZAIDI YA 10 HAPA

  Diamond Plutnumz akiwa ndani ya mgahawa wa Safari na kruu wake katika picha na mashbiki waliofika kumsabai na kupiga nae picha.  Mashabiki wa Diamond wakipata ukodak moment na Diamond Plutnumz mara tu alipotua ndani ya mgahawa wa Safari siku ya Ijumaa May 30, 2014.  Shabiki akiwa bado na kiu ya kupata ukodak na Rais wa Wasfai, Diamond kulia ni DMK poromota wa msanii huyo ambaye ndie anayekimbiza sasa hivi...

TUMEAMIA HUKU