kukimbia chuo, kisa boy wake kusambaza picha zake, kwa marafiki zake bila kujua kua zitafika kwenye mitandao ya kijamii,ila wakati aliposhuudia picha zake hizo aliamua kukimbia chuo na kutokomea kusikojulikana bado haijaeleweka wapi amekimbilia ila....hakuna anaejua yupo wapi ni onyo tu kwa wale wenye tabia ya kuwapa watu picha zao chafu....kama kuna picha ambayo wewe unaona haina maadili usimpe mtu hata kama unamuamini vipii
KUTAZAMA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA .