Kichanga kinachokadilwa kuwa na umri wa miezi kati ya 6-7 kimekutwa kimetupwa kwenye dambo karibu na mahakama ya mwanzo mkabala na ofisi za manispaa ya Iringa, mkoani Iringa na mwanamke mmoja ambaye hakufahamika mara moja leo.
Kamanda wa Polisi mkoani Iringa, Ramadhani Mungi amethibitisha kuwepo kwa tukio hilo na kusema wanamtafuta mwanamke aliyefanya kitendo hicho ili sheria iweze kuchukua mkondo wake pamoja na kukomesha vitendo hivyo mara moja .
Milioni 392 Zajenga Barabara HEWA Dar es Salaam
-
Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Boniface Jacob amebaini matumizi ya Sh392
milioni zilizoandikwa kwenye taarifa ya manispaa hiyo kuwa zimetumika kwa
ajili y...