Mwili wa Marehemu Mzee Small ukihifadhiwa kwenye nyumba yake ya milele jioni ya leo katika makaburi ya Tabata Segerea jijini Dar.
UMATI wa watu umejitokeza katika kumuaga marehemu Said Ngamba 'Mzee Small' nyumbani kwake Tabata-Kimanga na mazishi kufanyika katika makaburi ya Segerea, jijini Dar es Salaam.