Msanii wa bongo movies ambaye ni mzazi mwenzie na muimbaji wa dansi Chaz Baba, Sajenti hivi majuzi alilazwa na alikuwa katika hali mbaya lakini kwa uwezo wa Mungu na dua watu alifanikiwa kupona na sasa anaendelea vizuri.
Milioni 392 Zajenga Barabara HEWA Dar es Salaam
-
Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Boniface Jacob amebaini matumizi ya Sh392
milioni zilizoandikwa kwenye taarifa ya manispaa hiyo kuwa zimetumika kwa
ajili y...