Featured Posts

Sunday, July 6, 2014

TAZAMA EXCLUSIVE PICHA ZA MJENGO PAMOJA NA MAGARI ANAYOMILIKI PROFESA JAY, DAH JAMAA YUKO MBALI, TAZAMA HAPA

 Mjengo mpya wa mkongwe wa muziki wa kizazi kipya Profesa Jay.
 hongera sana kwa hatua uliyofikia..
 Inapendeza eeeh!
  Nyumba iko MBEZI ya KIMARA jijini DAR ES SALAAM .
Profesa JAY alihamia rasmi kwenye hii nyumba  mwaka huu na anasema kitu pekee kikubwa kinachokosekana kwenye nyumba yake  ni MKE....Asilimia mia moja ya hii nyumba imejengwa kwa pesa zilizotokana NA shughuli zake za muziki.

TUMEAMIA HUKU