Featured Posts

Thursday, July 3, 2014

JOKATE AFUNGUKA KUHUSU KUVUNJIKA NDOA YA DIDA NA MUMEWE EZDEN

Mtangazaji wa Kipindi cha The One Show, Jokate Mwegelo ‘Jojo’ amefunguka kuwa hahusiki na kuvunjika kwa ndoa ya Khadija Shaibu ‘Dida’ kwani ni mshikaji wake na wanaheshimiana.
Mtangazaji wa Kipindi cha The One Show, Jokate Mwegelo ‘Jojo’.
Akijibu tuhuma kuwa, yeye anahusika na kuparaganyika kwa ndoa hiyo kufuatia ‘ku-fall in love’ kwa mume wa Dida, Edzen Jumanne ambaye ni mtangazaji mwenzake, Jokate alisema:
'Dida' akiwa na Ezden.
“Yaani watu wanapenda kuungaunga maneno kweli, jamani mimi siwezi hata siku moja kuwa na Edzen, ni mfanyakazi mwenzangu halafu Dida ni mshikaji wangu siwezi kabisa, tena wasitake kunitibulia.”

TUMEAMIA HUKU