Featured Posts

Friday, July 4, 2014

HAYA SASA, TID AJIBIWA NA MASHABIKI BAADA YA KUMTUKANA RAY C, DAH LAZIMA AJUTE



Huu ni muendelezo wa story ya jana inayomhusu TID kumtusi sana Ray C baada ya Ray C kumwambia TID katikak intsgram kwamba aende kwa Ray C waongee maana TID ni msanii bora Afrika Mashariki.


Baada ya Matusi ya TID kwa Ray C, mashabiki wa muziki wamemshushia maneno (matusi) mazito TID. Maoni ya raia hao yanaonesha kwamba TID aliitwa na Ray C ili apewe ushauri wa kuachana na madawa ya kulevya kama alivyofanya kwa wengine ambao baadhi wapata matibabu na wanakaribia kupona.

Kwa kutunza maadili ya tovuti yetu hatutaweza kuyaweka maoni ya mashabiki hao yaliyojaa matusi mengi sana kwa TID. Kama TID amebahatika kuyasoma maoni hayo atakuwa aidha kakasirika sana au atajifunza kitu.

TUMEAMIA HUKU