Featured Posts

Sunday, September 7, 2014

HAKIKA RAY C WA KIPINDI HICHO ALIKUA MTAMU BALAA, UMEWAHI KUZIFUMA HIZI PICHA ZAKE ZA UTAMU?

Unapozungumzia wadada waliokuwa na mvuto miaka kama saba iliyopita ni ukweli husiopingika kwamba huwezi kuacha kumtaja mwanadada ray c ambaye kutkana na uzuri na mvuto wa kimahaba pamoja na sauti nyororo aliyokua nayo watu waliamua kumuita kiuno bila mfupa, sema kila kiu kina wakati wake, big up ray c ama hakika ulikimbiza sana bhana enzi zako ulikua talk of the town



TUMEAMIA HUKU