Hii hutokea sana hasa katika maeneo karibu na vyuo ambapo wengi hujifanya wanachuo na kuingia katika campus hizo kumbe ni wezi hatari.
Hiki kichapo kiwe fundisho kwa wenye tabia hiyo.
Milioni 392 Zajenga Barabara HEWA Dar es Salaam
-
Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Boniface Jacob amebaini matumizi ya Sh392
milioni zilizoandikwa kwenye taarifa ya manispaa hiyo kuwa zimetumika kwa
ajili y...