Kila nafsi itaonja umauti katangulia mbele ya haki mama tunda tuchukue muda huu kumuombea dua MUNGU ailaze roho ya marehem paala pema amina pia namuomba MUNGU ampe moyo wa subira baba tunda afande sele kwa kipindi hiki kigumu inshaallah
Milioni 392 Zajenga Barabara HEWA Dar es Salaam
-
Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Boniface Jacob amebaini matumizi ya Sh392
milioni zilizoandikwa kwenye taarifa ya manispaa hiyo kuwa zimetumika kwa
ajili y...