msanii wa bongo movie anaejulikana kwa jina la irene paul amepost picha akiwa na mume wa flora mbasha na kuzua minong'ono miongoni mwa mashabiki ambao wengi wameenda mbali na kudai kuwa wawili hao ni wapenzi kwa sasa, hata hivyo irene paul hakuweza kuwajibu mashabiki wake hvyo wengi kubaki njia panda
Milioni 392 Zajenga Barabara HEWA Dar es Salaam
-
Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Boniface Jacob amebaini matumizi ya Sh392
milioni zilizoandikwa kwenye taarifa ya manispaa hiyo kuwa zimetumika kwa
ajili y...