Featured Posts

Sunday, August 17, 2014

MAJENGO YA KISASA MPAKANI NAMANGA-ARUSHA YANASWA SOMA HAPA

 Baadhi ya majengo ya kisasa yaliyopo katika mpaka wa Namanga-Arusha.
Mmoja wa wafanyakazi wa kampuni ya Clearing and Forwading iliyoko mpakani hapo, Godfrey Willfred (kulia) ambaye pia ni msanii wa muziki wa Bongo Fleva, akikagua gari lenye mzigo linalotoka Kenya kuingia Tanzania.
Hii ni barabara ya Arusha-Nairobi, kwa mbali ni mlima Longido uliopo Wilaya ya Longido.
Na Gabriel Ng’osha/GPL
MTANDAO wetu umevinjari mpaka wa Namanga ulioko Wilaya ya Longido, Mkoa wa Arusha, unaounganisha nchi ya Kenya na Tanzania na kugundua unazidi kuboreshwa kwa kujengwa majengo ya kisasa ambayo yatatumiwa na baadhi ya idara zinazofanya kazi katika eneo la mpaka huo.

TUMEAMIA HUKU