Maheeda huwa hafichi uhusiano wake wa kimapenzi,katika mahojiano yaliyo fanywa na kituo cha vaguard,maheeda amefunguka wazi wazi kuwa hiyo tabia anaipenda sana na hawezi kuacha
swali1:ni kitu gani cha ajabu ulisha wahi kufanya ukiwa kitandani?
Nilikuwa na mvulana mmoja chumbani na yeye hakuwa mzuri sana kitandani,ghafla akaingia kaka ake chumbani,nilifanya nae mapenzi pia siku hiyo wote wawili
swali 2:wote wawili walikuwa chumba kimoja?
hapana nilipoona kaka ake ameingia chumbani kwetu kwa ghafla na huyu niliye naye haniridhishi, niliamua kufanya nae pia..so watu wananichukulia vibaya sasa hivi wananiona kama msichana mbaya jamani