Featured Posts

Tuesday, August 5, 2014

WANAUME WATAIRIWA KWA NGUVU ILI KUBORESHA USAFI NA KUFANYA VYEMA KUNAKO SITA SITA

Photo - Grown Kenyan Men Forced To Have Circumcisions To Be Clean & Perform Better In Bed
Huko nchini kenya yametokea haya  ambapo wanaume ambao hawajatairiwa walikua wanalazimishwa wafanye hivyo ili kuwafanya viungo vyao hivyo viwe safi.
Wanaume 12 waliofanyiwa kitu hicho kutoka makabila ya  Luo, Turkana, Iteso and Luhyia kwani walikua bado  kutokana na mila au kuogopa tendo lenyewe.
Wanaume wengine karibu 50 wameripoti polisi ili waepushwe na zoezi hili huku wanawake wa eneo hilo wakifurahia zoezi hili.

TUMEAMIA HUKU