Huko nchini kenya yametokea haya ambapo wanaume ambao hawajatairiwa walikua wanalazimishwa wafanye hivyo ili kuwafanya viungo vyao hivyo viwe safi.
Wanaume 12 waliofanyiwa kitu hicho kutoka makabila ya Luo, Turkana, Iteso and Luhyia kwani walikua bado kutokana na mila au kuogopa tendo lenyewe.
Wanaume wengine karibu 50 wameripoti polisi ili waepushwe na zoezi hili huku wanawake wa eneo hilo wakifurahia zoezi hili.
Milioni 392 Zajenga Barabara HEWA Dar es Salaam
-
Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Boniface Jacob amebaini matumizi ya Sh392
milioni zilizoandikwa kwenye taarifa ya manispaa hiyo kuwa zimetumika kwa
ajili y...